1 Sam. 5:9 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, walipokwisha lihamisha, mkono wa BWANA ulikuwa juu ya mji huo, kwa kuwafadhaisha sana; akawapiga watu wa mjini, wadogo kwa wakubwa, wakapatwa na majipu.

1 Sam. 5

1 Sam. 5:3-12