1 Sam. 5:3 Swahili Union Version (SUV)

Na watu wa Ashdodi, walipoamka alfajiri siku ya pili, kumbe! Dagoni imeanguka chini kifudifudi, mbele ya sanduku la BWANA. Wakaitwaa Dagoni, wakaisimamisha mahali pake tena.

1 Sam. 5

1 Sam. 5:1-12