1 Sam. 4:21 Swahili Union Version (SUV)

Akamwita mtoto, Ikabodi, akisema, Huo utukufu umeondoka katika Israeli; kwa sababu sanduku la Mungu lilikuwa limetwaliwa, na kwa sababu ya mkwewe na mumewe.

1 Sam. 4

1 Sam. 4:15-22