1 Sam. 4:13 Swahili Union Version (SUV)

Alipofika, tazama, Eli alikuwa ameketi kitini pake kando ya njia, akingojea; maana moyo wake ulitetemeka kwa ajili ya sanduku la Mungu. Na yule mtu alipoingia mjini, akatoa habari, mji wote ukalia.

1 Sam. 4

1 Sam. 4:6-20