1 Sam. 31:12 Swahili Union Version (SUV)

wakainuka mashujaa wote, wakaenda usiku kucha, wakautwaa mwili wake Sauli, na miili ya wanawe, na kuiondoa ukutani kwa Beth-shani nao wakaja Yabeshi, na kuiteketeza huko.

1 Sam. 31

1 Sam. 31:8-13