1 Sam. 30:23 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Daudi akasema, La, ndugu zangu, msitende hivyo katika hizo nyara alizotupa BWANA, ambaye ndiye aliyetuhifadhi, akalitia mikononi mwetu lile jeshi lililokuja kinyume chetu.

1 Sam. 30

1 Sam. 30:20-25