1 Sam. 30:12 Swahili Union Version (SUV)

kisha wakampa kipande cha mkate wa tini, na vishada viwili vya zabibu; naye akiisha kula roho yake ikamrudia; kwa maana alikuwa hakula chakula wala kunywa maji, siku tatu mchana na usiku.

1 Sam. 30

1 Sam. 30:4-20