1 Sam. 30:1 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, Daudi na watu wake walipokuwa wamefika Siklagi siku ya tatu, hao Waamaleki walikuwa wameshambulia Negebu, na Siklagi, nao wameupiga Siklagi, na kuuchoma moto;

1 Sam. 30

1 Sam. 30:1-5