1 Sam. 3:17 Swahili Union Version (SUV)

Akamwuliza, Ni neno gani alilosema nawe? Nakusihi, usinifiche; Mungu akufanyie vivyo hivyo, na kuzidi, ukinificha lo lote katika hayo yote BWANA aliyosema nawe.

1 Sam. 3

1 Sam. 3:16-18