1 Sam. 28:9 Swahili Union Version (SUV)

Yule mwanamke akamwambia, Angalia, unajua alivyofanya Sauli, jinsi alivyowakatilia mbali hao wenye pepo wa utambuzi na wachawi katika nchi; mbona basi wanitegea tanzi uhai wangu, ili kuniua?

1 Sam. 28

1 Sam. 28:1-13