1 Sam. 28:23 Swahili Union Version (SUV)

Lakini yeye alikataa, akasema, Mimi sitaki kula. Ila watumishi wake, pamoja na yule mwanamke, wakamlazimisha; naye akaisikiliza sauti yao. Basi akainuka hapo chini, akaketi juu ya kitanda.

1 Sam. 28

1 Sam. 28:18-25