1 Sam. 28:20 Swahili Union Version (SUV)

Mara Sauli akaanguka chini kifulifuli, akaingiwa na hofu kuu kwa sababu ya maneno hayo ya Samweli, wala hakuwa na nguvu yo yote; kwa maana hakula chakula mchana kutwa, wala usiku kucha.

1 Sam. 28

1 Sam. 28:12-25