1 Sam. 28:18 Swahili Union Version (SUV)

Kwa sababu wewe hukuitii sauti ya BWANA, wala hukumtimilizia hasira yake kali juu ya Amaleki; kwa sababu hii BWANA amekutendea hili leo.

1 Sam. 28

1 Sam. 28:12-23