1 Sam. 28:14 Swahili Union Version (SUV)

Naye akamwuliza, Ni mfano wa nini? Akajibu, Ni mzee anazuka; naye amefunikwa vazi. Basi Sauli akatambua ya kwamba ndiye Samweli mwenyewe, akainama uso wake mpaka nchi, akasujudia.

1 Sam. 28

1 Sam. 28:13-22