1 Sam. 28:12 Swahili Union Version (SUV)

Hata yule mwanamke alipomwona Samweli alilia kwa sauti kuu; na yule mwanamke akamwambia Sauli, akasema, Mbona umenidanganya? Kwa kuwa wewe ndiwe Sauli.

1 Sam. 28

1 Sam. 28:8-14