1 Sam. 27:9 Swahili Union Version (SUV)

Tena Daudi akaipiga nchi hiyo, asimhifadhi hai mume wala mke, akateka nyara kondoo, na ng’ombe, na punda, na ngamia na mavazi; kisha akarejea na kufika kwa Akishi.

1 Sam. 27

1 Sam. 27:2-12