1 Sam. 26:23 Swahili Union Version (SUV)

Naye BWANA atamlipa kila mtu haki yake, na uaminifu wake; maana BWANA amekutia mikononi mwangu leo, nami nalikataa kuunyosha mkono wangu juu ya masihi wa BWANA.

1 Sam. 26

1 Sam. 26:22-25