1 Sam. 26:21 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Sauli akasema, Nimekosa; rudi, Daudi, mwanangu; maana sitakudhuru tena, kwa kuwa maisha yangu yalikuwa na thamani machoni pako leo; angalia, nimetenda upumbavu, nimekosa sana.

1 Sam. 26

1 Sam. 26:15-25