1 Sam. 26:17 Swahili Union Version (SUV)

Naye Sauli akaitambua sauti ya Daudi, akasema, Hii ndiyo sauti yako, Daudi, mwanangu? Daudi akasema, Ndiyo, ni sauti yangu, bwana wangu, mfalme.

1 Sam. 26

1 Sam. 26:15-18