1 Sam. 26:14 Swahili Union Version (SUV)

naye Daudi akawapigia kelele watu wale, na Abneri, mwana wa Neri, akasema, Abneri, hujibu? Ndipo Abneri akajibu, akasema, U nani wewe unayemlilia mfalme?

1 Sam. 26

1 Sam. 26:4-24