1 Sam. 26:11 Swahili Union Version (SUV)

Hasha! Nisiunyoshe mkono wangu juu ya masihi wa BWANA; lakini sasa tafadhali twaa hili fumo lililo kichwani pake, na hili gudulia la maji, nasi twende zetu.

1 Sam. 26

1 Sam. 26:5-12