1 Sam. 25:8 Swahili Union Version (SUV)

Waulize vijana wako, nao watakuambia; basi na wakubaliwe vijana hawa machoni pako; maana tumekujia katika siku ya heri; uwape, nakusihi, cho chote kitakachokujia mkononi, uwape watumwa wako na mwanao Daudi.

1 Sam. 25

1 Sam. 25:4-16