1 Sam. 25:21 Swahili Union Version (SUV)

Basi Daudi alikuwa amesema, Hakika ni bure nilivyokuwa nikilinda nyikani yote aliyo nayo mtu huyu, asipotewe na kitu cho chote cha mali yake yote; naye amenilipa mabaya badala ya mema.

1 Sam. 25

1 Sam. 25:18-29