1 Sam. 24:8 Swahili Union Version (SUV)

Daudi naye akainuka baadaye, akatoka pangoni, akamwita Sauli, akisema, Bwana wangu, mfalme. Na Sauli alipotazama nyuma, Daudi akainama uso wake hata nchi, akamsujudia.

1 Sam. 24

1 Sam. 24:1-15