1 Sam. 24:3 Swahili Union Version (SUV)

Akafika penye mazizi ya kondoo kando ya njia, na huko kulikuwa na pango; Sauli akaingia ndani ili kuifunika miguu. Na Daudi na watu wake walikuwa wakikaa mle pangoni ndani sana.

1 Sam. 24

1 Sam. 24:1-8