1 Sam. 23:5 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo wakaenda Keila, Daudi na watu wake, wakapigana na hao Wafilisti, wakateka nyara ng’ombe zao, na kuwaua uuaji mkuu. Hivyo Daudi akawaokoa watu wa Keila.

1 Sam. 23

1 Sam. 23:1-6