1 Sam. 23:19 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo wale Wazifi wakakwea kwa Sauli huko Gibea, wakasema, Je! Yule Daudi hakujificha kwetu ngomeni mwa Horeshi, kilimani pa Hakila upande wa kusini wa Yeshimoni?

1 Sam. 23

1 Sam. 23:16-20