1 Sam. 23:13 Swahili Union Version (SUV)

Basi Daudi na watu wake, ambao wapata kama mia sita, wakaondoka na kutoka Keila, wakaenda po pote walipoweza kwenda. Kisha Sauli akaambiwa ya kwamba Daudi amekimbia toka Keila; akaacha kutoka nje.

1 Sam. 23

1 Sam. 23:12-14