1 Sam. 22:18 Swahili Union Version (SUV)

Basi mfalme akamwambia Doegi, Geuka wewe, ukawaangukia hao makuhani. Basi Doegi, Mwedomi, akageuka, akawaangukia makuhani, akaua siku ile watu themanini na watano wenye kuvaa naivera ya kitani.

1 Sam. 22

1 Sam. 22:13-22