1 Sam. 22:11 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo mfalme akatuma watu waende kumwita Ahimeleki, kuhani, mwana wa Ahitubu, na jamaa yote ya baba yake, hao makuhani, waliokuwako huko Nobu; nao wakaenda kwa mfalme wote pia.

1 Sam. 22

1 Sam. 22:10-14