1 Sam. 21:8 Swahili Union Version (SUV)

Tena Daudi akamwambia Ahimeleki, Na hapa chini ya mkono wako, je! Hapana mkuki, au upanga? Kwa maana sikuleta upanga, wala silaha zangu, kwa sababu ile shughuli ya mfalme ilitaka haraka.

1 Sam. 21

1 Sam. 21:5-10