1 Sam. 21:11 Swahili Union Version (SUV)

Nao watumishi wa Akishi wakamwambia, Je! Huyu siye yule Daudi, mfalme wa nchi? Je! Hawakuimbiana habari zake katika ngoma zao, kusema,Sauli amewaua elfu zake,Na Daudi makumi elfu yake.

1 Sam. 21

1 Sam. 21:2-15