1 Sam. 21:1 Swahili Union Version (SUV)

Basi Daudi akaenda Nobu kwa Ahimeleki, kuhani. Ahimeleki akaenda kumlaki Daudi, akitetemeka, akamwambia, Kwani wewe kuwa peke yako, wala hapana mtu pamoja nawe?

1 Sam. 21

1 Sam. 21:1-3