1 Sam. 20:5 Swahili Union Version (SUV)

Naye Daudi akamwambia Yonathani, Tazama, kesho ni mwandamo wa mwezi, nami hainipasi kukosa kuketi chakulani pamoja na mfalme; lakini niache nijifiche bondeni hata siku ya tatu jioni.

1 Sam. 20

1 Sam. 20:1-14