1 Sam. 20:41 Swahili Union Version (SUV)

Basi mara alipokuwa amekwisha ondoka yule mtoto, mara Daudi akatoka mahali pale karibu na kile kichuguu, akaanguka kifudifudi, akajiinama mara tatu; nao wakabusiana, wakaliliana, hata Daudi akazidi.

1 Sam. 20

1 Sam. 20:35-42