1 Sam. 20:34 Swahili Union Version (SUV)

Basi Yonathani akaondoka pale mezani, mwenye hasira kali, wala hakula chakula siku ya pili ya mwezi, kwa sababu alimhuzunikia Daudi sana, na kwa sababu baba yake amemwaibisha.

1 Sam. 20

1 Sam. 20:30-41