1 Sam. 20:25 Swahili Union Version (SUV)

Mfalme aliketi kitini mwake kama sikuzote, katika kiti kilichokuwa karibu na ukuta; Yonathani alikuwa mbele yake; Abneri naye akaketi karibu na Sauli; lakini mahali pake Daudi palikuwa hapana mtu.

1 Sam. 20

1 Sam. 20:18-33