1 Sam. 20:2 Swahili Union Version (SUV)

Naye akamwambia, Hasha! Hutakufa; angalia, baba yangu hatendi neno kubwa wala dogo bila kuifunulia mimi, na baba yangu ana sababu gani ya kunificha jambo hili? Sivyo usemavyo.

1 Sam. 20

1 Sam. 20:1-11