1 Sam. 20:17 Swahili Union Version (SUV)

Naye Yonathani akamwapisha Daudi mara ya pili, kwa ajili ya upendo aliokuwa nao kwake; kwa maana alimpenda kama alivyoipenda roho yake mwenyewe.

1 Sam. 20

1 Sam. 20:8-23