1 Sam. 2:35 Swahili Union Version (SUV)

Nami nitajiinulia kuhani mwaminifu, atakayefanya sawasawa na mambo yote niliyo nayo katika moyo wangu, na katika nia yangu; nami nitamjengea nyumba iliyo imara; naye atakwenda mbele ya masihi wangu milele.

1 Sam. 2

1 Sam. 2:33-36