1 Sam. 2:33 Swahili Union Version (SUV)

Tena mtu wa kwako, ambaye sitamtenga na madhabahu yangu, atakuwa mtu wa kukupofusha macho, na kukuhuzunisha moyo; tena wazao wote wa nyumba yako watakufa wapatapo kuwa watu wazima.

1 Sam. 2

1 Sam. 2:25-36