1 Sam. 2:3 Swahili Union Version (SUV)

Msizidi kunena kwa kutakabari hivyo;Majivuno yasitoke vinywani mwenu;Kwa kuwa BWANA ni Mungu wa maarifa,Na matendo hupimwa na yeye kwa mizani.

1 Sam. 2

1 Sam. 2:1-12