1 Sam. 2:29 Swahili Union Version (SUV)

Kwa nini basi mnaipiga teke dhabihu yangu na sadaka yangu nilizoziamuru katika maskani yangu; ukawaheshimu wanao kuliko mimi, mpate kujinenepesha kwa sadaka zote za watu wangu Israeli zilizo njema?

1 Sam. 2

1 Sam. 2:28-34