1 Sam. 2:25 Swahili Union Version (SUV)

Mtu mmoja akimkosa mwenzake, Mungu atamhukumu; lakini mtu akimkosa BWANA, ni nani atakayemtetea? Lakini hawakuisikia sauti ya baba yao, kwa sababu BWANA amekusudia kuwaua.

1 Sam. 2

1 Sam. 2:16-27