1 Sam. 2:20 Swahili Union Version (SUV)

Naye Eli akambariki Elkana na mkewe, akasema, BWANA na akupe uzao kwa mwanamke huyu, badala ya azimo aliloazimiwa BWANA. Kisha wakaenda nyumbani kwao.

1 Sam. 2

1 Sam. 2:11-22