1 Sam. 19:22 Swahili Union Version (SUV)

Kisha yeye mwenyewe akaenda Rama, akafika kunako kile kisima kikubwa kilicho huko Seku; akauliza, akasema, Je! Wako wapi Samweli na Daudi? Na mtu mmoja akajibu, Tazama, wako Nayothi, huko Rama.

1 Sam. 19

1 Sam. 19:19-24