1 Sam. 19:20 Swahili Union Version (SUV)

Basi Sauli akatuma wajumbe ili kumkamata Daudi; nao hapo walipowaona jamaa ya manabii wakitabiri, na Samweli amesimama kama mkuu wao, roho ya Mungu ikawajilia wajumbe wa Sauli, nao pia wakatabiri.

1 Sam. 19

1 Sam. 19:12-23