1 Sam. 19:11 Swahili Union Version (SUV)

Kisha Sauli akatuma wajumbe mpaka nyumbani kwa Daudi, ili wamvizie na kumwua asubuhi; naye Mikali, mkewe Daudi, akamwambia, akasema, Wewe usipojiponya nafsi yako usiku huu, kesho utauawa.

1 Sam. 19

1 Sam. 19:6-17