1 Sam. 18:5 Swahili Union Version (SUV)

Basi Daudi akatoka kwenda kila mahali alikotumwa na Sauli, akatenda kwa akili; Sauli akamweka juu ya watu wa vita; jambo hili likawa jema machoni pa watu wote, na machoni pa watumishi wa Sauli pia.

1 Sam. 18

1 Sam. 18:1-12