1 Sam. 17:57 Swahili Union Version (SUV)

Hata na Daudi alipokuwa yuarudi kutoka katika kumwua yule Mfilisti, Abneri alimtwaa, akamleta mbele ya Sauli, naye anacho kichwa chake yule Mfilisti mkononi mwake.

1 Sam. 17

1 Sam. 17:54-58